Tuesday, May 14, 2013

12 KUWANIA TAJI LA MISS LINDI 2013 MEI 31

Shindano la kumsaka Malkia wa Mkoa wa Lindi ‘Miss Lindi 2013’ linataraji kufanyia Mei 31 mwaka huu katika ukumbi wa Hoteli ya Lindi Beach Resort (Oceanic Hotel).
Akizungumza na Father Kidevu Blog mjini Lindi, Mwandaaji wa Shindano hilo, Shaha Ramadhani kupitia kampuni ya Alliance Entertainment amesema warembo 12 wataingia Kambini Hotelini hapo chini ya Mkufunzi Zainab Mselem ambaye alikuwa Miss Pwani 2010.
Maandalizi yote ya shindano hilo yanaendelea vyema na Milango io wazi kwa Wadhamini kujitokeza.
Maandalizi yote ya shindano hilo yanaendelea vyema na Milango io wazi kwa Wadhamini kujitokeza. 
Irine Veda (pichani juu) ndiye anashikilia taji hilo baada ya kulitwaa mwaka 2012. 

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...