Friday, May 24, 2013

SEASON YA NANE YA BIG BROTHER KUANZA WEEKEND HII




Yeah pipozz, huyu ndio anayesemwa semwa kuwa muwakilishi wetu wa BBA.
Siku ya tarehe 26 mwezi huu, itaanza kuonyeshwa rasmi msimu mpya wa big brother "the chase" kwa wale wenye dstv usikose kuangalia kupitia channel 198 upate kujua ni nani atakaeiwakilisha Tanzania mwaka huu. Dola laki tatu kushindaniwa.
 
Credits: Zedylicious blog

No comments:

USIPIME KIWANJA UACHE PORI! DODOMA YAWAVAA WAMILIKI WALIOLEGEZA

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imesema itafuta umiliki wa viwanja vyote ambavyo havijaendelezwa ndani ya muda uliowekwa kisheria, na kuvitwa...