Friday, May 09, 2008

Siku Serengeti walipopongezwa kwa ushindi




Wachhezaji wa timu ya taifa Stars wakijiburudisha na muziki ulokuwa ukiporomoshwa na bendi ya Kalunde band ya deo mwanambilimbi usiku wa jana kwenye hafla iliyoandakiwa na serengeti breweries ya kuwapongeza taifa staaz kwa kuifunga Uganda Cranes na kuwapa moyo kwa mchezo wa marudiano jijini Kampala wiki ijayo. Serengeti Breweries ilitoa dola 100 kwa kila mchezaji na dola 150 kwa kila kiongozi wa timu hiyo kwa kuifunga Uganda Cranes. Picha ya Mdau Deus Mhagale

1 comment:

Anonymous said...

What a nice girl!

^_^

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...