Sunday, May 18, 2008

Masikini Mbowe



Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema Freeman Mbowe akitoka katika ukumbi wa M-9 wa chuo
kikuu cha SAUT baada ya kumalizika kongamano la vijana kuhusu utunzaji wa
raslimali za nchi pamoja na dhana ya Utawala wa Majimbo lililoandaliwa na Chama
chake, inaelezwa kuwa Mbowe alianguka baaada ya kuteleza na hivyo kuumia mguu ambao
umewekewa P.O.P Picha ya mdau Frederick Katulanda

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...