Sunday, May 18, 2008

Masikini Mbowe



Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema Freeman Mbowe akitoka katika ukumbi wa M-9 wa chuo
kikuu cha SAUT baada ya kumalizika kongamano la vijana kuhusu utunzaji wa
raslimali za nchi pamoja na dhana ya Utawala wa Majimbo lililoandaliwa na Chama
chake, inaelezwa kuwa Mbowe alianguka baaada ya kuteleza na hivyo kuumia mguu ambao
umewekewa P.O.P Picha ya mdau Frederick Katulanda

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...