Sunday, May 25, 2008

Rais Mugabe kampeni kijiji kwa kijiji


Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe (kushoto) na mkewe Grace wakiwasalimu wafuasi wao wakati rais huyo alipozindua kampeni za uchaguzi wa marudio katika jiji la Harare jana. Mugabe anamtuhumu Balozi wa Marekani nchini mwake James McGee kwa kuingilia siasa za ndani ya nchi hiyo na akatishia kumfukuza kutoka katika taifa hilo la kusini mwa Afrika. PICHA YA REUTERS.

No comments:

  ‎
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...