Sunday, May 25, 2008

Rais Mugabe kampeni kijiji kwa kijiji


Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe (kushoto) na mkewe Grace wakiwasalimu wafuasi wao wakati rais huyo alipozindua kampeni za uchaguzi wa marudio katika jiji la Harare jana. Mugabe anamtuhumu Balozi wa Marekani nchini mwake James McGee kwa kuingilia siasa za ndani ya nchi hiyo na akatishia kumfukuza kutoka katika taifa hilo la kusini mwa Afrika. PICHA YA REUTERS.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...