Thursday, May 15, 2008

Mvua bongo ni balaa





Bongo bwana ni balaa tupu iwe kiangazi iwe mvua, sasa hebu cheki hapa hii mvua iliyonyesha kidogo tu juzi kila kona watu wanahangaika. Majumbani hakukaliki, barabara hazipitiki ili mradi kila kona balaa, kuna msemo hapa Dar kuwa watu wanaogopa mvua zaidi kuliko magari. Picha hizi za mdau zinaonyesha hilo.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...