Thursday, May 15, 2008

Mvua bongo ni balaa





Bongo bwana ni balaa tupu iwe kiangazi iwe mvua, sasa hebu cheki hapa hii mvua iliyonyesha kidogo tu juzi kila kona watu wanahangaika. Majumbani hakukaliki, barabara hazipitiki ili mradi kila kona balaa, kuna msemo hapa Dar kuwa watu wanaogopa mvua zaidi kuliko magari. Picha hizi za mdau zinaonyesha hilo.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...