Thursday, May 15, 2008

Mvua bongo ni balaa





Bongo bwana ni balaa tupu iwe kiangazi iwe mvua, sasa hebu cheki hapa hii mvua iliyonyesha kidogo tu juzi kila kona watu wanahangaika. Majumbani hakukaliki, barabara hazipitiki ili mradi kila kona balaa, kuna msemo hapa Dar kuwa watu wanaogopa mvua zaidi kuliko magari. Picha hizi za mdau zinaonyesha hilo.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...