Friday, May 30, 2008

miss universe 2008


Miss Universe TZ 2008 Amanda Sululu akipozi muda mfupi baada ya kutangazwa kwenye Ukumbi wa Movenpick usiku kuamkia leo. Huyu ndiye mrithi wa Flavian Matata ambaye mwaka jana aliingia tano bora kwenye mchuano wa dunia. amanda si mgeni sana kwenye ulimbwende kwani mwaka jana alishiriki Miss TZ

Miss Universe Tanzania, Amanda Sululu,katikati, akipozi muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi kwenye Ukumbi wa Movenpick Da es Salaam juzi,kushoto ni mshindi wa pili Jamila Nyanga na Eva Babuely. Picha za braza Michuzi.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...