Friday, May 30, 2008

miss universe 2008


Miss Universe TZ 2008 Amanda Sululu akipozi muda mfupi baada ya kutangazwa kwenye Ukumbi wa Movenpick usiku kuamkia leo. Huyu ndiye mrithi wa Flavian Matata ambaye mwaka jana aliingia tano bora kwenye mchuano wa dunia. amanda si mgeni sana kwenye ulimbwende kwani mwaka jana alishiriki Miss TZ

Miss Universe Tanzania, Amanda Sululu,katikati, akipozi muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi kwenye Ukumbi wa Movenpick Da es Salaam juzi,kushoto ni mshindi wa pili Jamila Nyanga na Eva Babuely. Picha za braza Michuzi.

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...