Monday, May 05, 2008

50 Cent in Tanzania


Gari aina ya Range Rover vogue T689 AMW ambalo amepanda 50 Cent leo alipowasili likikatiza katika mitaa ya jiji la Dar es Salaam.Picha ya Father Kidevu.



50 cents ametua dar na wanamuziki wake wa kundi la Gunit na kupokewa na umati wa mashabiki uwanja wa ndege wa julius nyerere terminal I akiwa ndani ya ndege ya kukodi akitokea sauzi, jana kafanya vitu vyake vya uhakika pale Diamond Jubilee, ila washikaji wa habari wanalalamika utaratibu haukuwa bomba hata kidogo. Picha za Reuters, Muhidin Issa Michuzi

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...