Monday, May 05, 2008

50 Cent in Tanzania


Gari aina ya Range Rover vogue T689 AMW ambalo amepanda 50 Cent leo alipowasili likikatiza katika mitaa ya jiji la Dar es Salaam.Picha ya Father Kidevu.



50 cents ametua dar na wanamuziki wake wa kundi la Gunit na kupokewa na umati wa mashabiki uwanja wa ndege wa julius nyerere terminal I akiwa ndani ya ndege ya kukodi akitokea sauzi, jana kafanya vitu vyake vya uhakika pale Diamond Jubilee, ila washikaji wa habari wanalalamika utaratibu haukuwa bomba hata kidogo. Picha za Reuters, Muhidin Issa Michuzi

No comments:

TAFITI NA GUNDUZI ZA WANASAYANSI CHIPUKIZI ZINAUNGA MKONO LENGO LA KUANZISHA SHULE ZA AMALI - PROF. SHEMDOE

Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Rizi...