Monday, May 05, 2008

50 Cent in Tanzania


Gari aina ya Range Rover vogue T689 AMW ambalo amepanda 50 Cent leo alipowasili likikatiza katika mitaa ya jiji la Dar es Salaam.Picha ya Father Kidevu.



50 cents ametua dar na wanamuziki wake wa kundi la Gunit na kupokewa na umati wa mashabiki uwanja wa ndege wa julius nyerere terminal I akiwa ndani ya ndege ya kukodi akitokea sauzi, jana kafanya vitu vyake vya uhakika pale Diamond Jubilee, ila washikaji wa habari wanalalamika utaratibu haukuwa bomba hata kidogo. Picha za Reuters, Muhidin Issa Michuzi

No comments:

  ‎
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...