
Cheki muonekano mwanana wa kadege ka shirika letu la ATC, kanabeba watu kama 170 hivi ni matata kweli kwa kiwango cha bongo, lakini kwa wenzetu ni sawa na kadege kwa kwenda kununulia nyanya, angalau na sisi tunajitahidi.
Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...
No comments:
Post a Comment