
Cheki muonekano mwanana wa kadege ka shirika letu la ATC, kanabeba watu kama 170 hivi ni matata kweli kwa kiwango cha bongo, lakini kwa wenzetu ni sawa na kadege kwa kwenda kununulia nyanya, angalau na sisi tunajitahidi.
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...
No comments:
Post a Comment