Friday, May 09, 2008

ATC anga kwa anga, ndege kwa ndege


Cheki muonekano mwanana wa kadege ka shirika letu la ATC, kanabeba watu kama 170 hivi ni matata kweli kwa kiwango cha bongo, lakini kwa wenzetu ni sawa na kadege kwa kwenda kununulia nyanya, angalau na sisi tunajitahidi.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...