Wednesday, May 28, 2008

Usafiri wa bongo balaa

Abiria waendao maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam, kutoka Posta Mpya, wakipanda gari kupitia mlango wa nyuma na wale wanaoshuka kutumia mlango wa kawaida kutokana na shida ya magari yaendayo maeneo hayo nyakati za mchana jana. Picha ya Kassim Mbarouk.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...