Wednesday, May 28, 2008

Usafiri wa bongo balaa

Abiria waendao maeneo ya Masaki jijini Dar es Salaam, kutoka Posta Mpya, wakipanda gari kupitia mlango wa nyuma na wale wanaoshuka kutumia mlango wa kawaida kutokana na shida ya magari yaendayo maeneo hayo nyakati za mchana jana. Picha ya Kassim Mbarouk.

No comments:

Oryx Gas Waja na Promosheni Maalum ya Mfungo

  NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM KATIKA kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Oryx Gas imezindua kampeni...