Friday, May 30, 2008

AICC SULLIVAN


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo mafupi kutoka kwa Mkurugenzi
Mwendeshaji wa AICC, Elishilia Kaaya (kulia) jana Arusha alipotembea
kujionea ukumbi utakaofanyika mkutano wa Sullivan kuanzia Jumatatu.
Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha, Isidory Shirima. Picha na Edwin
Mjwahuzi

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...