Friday, May 30, 2008

AICC SULLIVAN


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo mafupi kutoka kwa Mkurugenzi
Mwendeshaji wa AICC, Elishilia Kaaya (kulia) jana Arusha alipotembea
kujionea ukumbi utakaofanyika mkutano wa Sullivan kuanzia Jumatatu.
Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha, Isidory Shirima. Picha na Edwin
Mjwahuzi

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...