Thursday, May 01, 2008

Mei Mosi



Wafanyakazi wa Veta Mikumi wakionyesha ujumbe kwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Saidi Mwambungu unaosomeka
Ajira bora, maisha bora, uchumi imara na maendeleo inawezekana bila ufisadi wakati wa kilele cha siku ya wafanyakazi Mei Mosi katika uwanja wa Jamhuri Morogoro Picha na Juma Ahmadi, Morogoro

No comments:

WANANCHI WALIPONGEZA JESHI LA POLISI KATAVI KWA KUFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI.

Wananchi wa eneo la soko kuu la Manispaa ya Mpanda mjini, Mkoani Katavi wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendesha zoezi la usafi lililofan...