Wednesday, May 07, 2008

Mugongo mugongo


Nimepita katika blogu ya dada Shamim hakika imetimia, kila siku mie hupita pale lakini leo nimepita nimekuta mambo makini hebu mcheki HAPA KWAKE Uone mambozzz.

2 comments:

Simon Kitururu said...

Si utani pale pakali! Karibu kwangu pia siku moja moja.Mimi kwako nipo kamakawa!:-)

Anonymous said...

ni kupendeza tu hamna kuzeeka shenzi taipu,bongo tambarare

DKT. MWIGULU AWASILI SONGEA KUSHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA JENISTA MHAGAMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...