
Nimepita katika blogu ya dada Shamim hakika imetimia, kila siku mie hupita pale lakini leo nimepita nimekuta mambo makini hebu mcheki HAPA KWAKE Uone mambozzz.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Desemba 15, 2025 amewasili mjini Songea mkoani Ruvuma kwa ajili ya...
2 comments:
Si utani pale pakali! Karibu kwangu pia siku moja moja.Mimi kwako nipo kamakawa!:-)
ni kupendeza tu hamna kuzeeka shenzi taipu,bongo tambarare
Post a Comment