Wednesday, May 07, 2008

Mugongo mugongo


Nimepita katika blogu ya dada Shamim hakika imetimia, kila siku mie hupita pale lakini leo nimepita nimekuta mambo makini hebu mcheki HAPA KWAKE Uone mambozzz.

2 comments:

Simon Kitururu said...

Si utani pale pakali! Karibu kwangu pia siku moja moja.Mimi kwako nipo kamakawa!:-)

Anonymous said...

ni kupendeza tu hamna kuzeeka shenzi taipu,bongo tambarare

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...