
Nimepita katika blogu ya dada Shamim hakika imetimia, kila siku mie hupita pale lakini leo nimepita nimekuta mambo makini hebu mcheki HAPA KWAKE Uone mambozzz.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...
2 comments:
Si utani pale pakali! Karibu kwangu pia siku moja moja.Mimi kwako nipo kamakawa!:-)
ni kupendeza tu hamna kuzeeka shenzi taipu,bongo tambarare
Post a Comment