Tuesday, May 20, 2008

Mkurugenzi wa FAO ndani ya Bongo


Waziri Stephen Wassira (kushoto) Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika
akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa Dk
Jacques Diouf alipowasili kwenye uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere hivi karibuni. Picha ya Wizara ya Kilimo na Ushirika

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...