Tuesday, May 20, 2008

Mkurugenzi wa FAO ndani ya Bongo


Waziri Stephen Wassira (kushoto) Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika
akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa Dk
Jacques Diouf alipowasili kwenye uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere hivi karibuni. Picha ya Wizara ya Kilimo na Ushirika

No comments:

Oryx Gas Waja na Promosheni Maalum ya Mfungo

  NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM KATIKA kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Oryx Gas imezindua kampeni...