Tuesday, May 20, 2008

Mkurugenzi wa FAO ndani ya Bongo


Waziri Stephen Wassira (kushoto) Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika
akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa Dk
Jacques Diouf alipowasili kwenye uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere hivi karibuni. Picha ya Wizara ya Kilimo na Ushirika

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...