Friday, May 09, 2008

Siku Serengeti walipopongezwa kwa ushindi




Wachhezaji wa timu ya taifa Stars wakijiburudisha na muziki ulokuwa ukiporomoshwa na bendi ya Kalunde band ya deo mwanambilimbi usiku wa jana kwenye hafla iliyoandakiwa na serengeti breweries ya kuwapongeza taifa staaz kwa kuifunga Uganda Cranes na kuwapa moyo kwa mchezo wa marudiano jijini Kampala wiki ijayo. Serengeti Breweries ilitoa dola 100 kwa kila mchezaji na dola 150 kwa kila kiongozi wa timu hiyo kwa kuifunga Uganda Cranes. Picha ya Mdau Deus Mhagale

1 comment:

Anonymous said...

What a nice girl!

^_^

DKT. NCHIMBI: SAFARI YA HESHIMA KWA WAZEE WA TAIFA

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Awamu y...