Wachhezaji wa timu ya taifa Stars wakijiburudisha na muziki ulokuwa ukiporomoshwa na bendi ya Kalunde band ya deo mwanambilimbi usiku wa jana kwenye hafla iliyoandakiwa na serengeti breweries ya kuwapongeza taifa staaz kwa kuifunga Uganda Cranes na kuwapa moyo kwa mchezo wa marudiano jijini Kampala wiki ijayo. Serengeti Breweries ilitoa dola 100 kwa kila mchezaji na dola 150 kwa kila kiongozi wa timu hiyo kwa kuifunga Uganda Cranes. Picha ya Mdau Deus Mhagale
Friday, May 09, 2008
Siku Serengeti walipopongezwa kwa ushindi
Wachhezaji wa timu ya taifa Stars wakijiburudisha na muziki ulokuwa ukiporomoshwa na bendi ya Kalunde band ya deo mwanambilimbi usiku wa jana kwenye hafla iliyoandakiwa na serengeti breweries ya kuwapongeza taifa staaz kwa kuifunga Uganda Cranes na kuwapa moyo kwa mchezo wa marudiano jijini Kampala wiki ijayo. Serengeti Breweries ilitoa dola 100 kwa kila mchezaji na dola 150 kwa kila kiongozi wa timu hiyo kwa kuifunga Uganda Cranes. Picha ya Mdau Deus Mhagale
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DKT. NCHIMBI: SAFARI YA HESHIMA KWA WAZEE WA TAIFA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Awamu y...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
1 comment:
What a nice girl!
^_^
Post a Comment