Monday, May 05, 2008

Waziri Mkuu Pinda Yuko Msumbiji



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wakati alipotembelea ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji
akiwa nchini humo kuhudhuria mkutano wa umoja wa maendeleo ya Elimu Barani Afrika leo. Picha na Ofisi ya Wazieri Mkuu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Rais wa Msumbiji, Armando Emílio
Guebuza kabla ya mazungumzo yao jijini Maputo 5/5/2008. Mheshimiwa Pinda yuko
Maputo kuhudhuria mkutano wa umoja wa maendeleo ya elimu kwa nchi za Afrika
unaofanyika Maputo. Picha na Ofisi ya Waziri mkuu

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...