Monday, May 05, 2008

Waziri Mkuu Pinda Yuko Msumbiji



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wakati alipotembelea ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji
akiwa nchini humo kuhudhuria mkutano wa umoja wa maendeleo ya Elimu Barani Afrika leo. Picha na Ofisi ya Wazieri Mkuu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Rais wa Msumbiji, Armando Emílio
Guebuza kabla ya mazungumzo yao jijini Maputo 5/5/2008. Mheshimiwa Pinda yuko
Maputo kuhudhuria mkutano wa umoja wa maendeleo ya elimu kwa nchi za Afrika
unaofanyika Maputo. Picha na Ofisi ya Waziri mkuu

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...