Thursday, May 29, 2008

Mwenge choma


Mkuu wa Mkoa wa Pwana Dk Christine Ishengoma akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa Kiongozi wa Mbio hizo mwaka huu, Shames Nungu tayari kwa kuukimbiza katika wilaya sita za mkoa wake jana. Makabidhiano hayo yalifanyika katika kijiji cha Msoga, Bagamoyo mkoani Pwani baada ya kuwashwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda (hayupo pichani) kijiji hicho ndio alipozaliwa Rais Jakaya Kikwete.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...