Thursday, May 29, 2008

Mwenge choma


Mkuu wa Mkoa wa Pwana Dk Christine Ishengoma akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa Kiongozi wa Mbio hizo mwaka huu, Shames Nungu tayari kwa kuukimbiza katika wilaya sita za mkoa wake jana. Makabidhiano hayo yalifanyika katika kijiji cha Msoga, Bagamoyo mkoani Pwani baada ya kuwashwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda (hayupo pichani) kijiji hicho ndio alipozaliwa Rais Jakaya Kikwete.

No comments:

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA USHIRIKIANO WA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba w...