Thursday, May 29, 2008

Mwenge choma


Mkuu wa Mkoa wa Pwana Dk Christine Ishengoma akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa Kiongozi wa Mbio hizo mwaka huu, Shames Nungu tayari kwa kuukimbiza katika wilaya sita za mkoa wake jana. Makabidhiano hayo yalifanyika katika kijiji cha Msoga, Bagamoyo mkoani Pwani baada ya kuwashwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda (hayupo pichani) kijiji hicho ndio alipozaliwa Rais Jakaya Kikwete.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...