Friday, May 30, 2008

Wanamuziki wa Marekani ndani ya Bongo





Wanamuziki wa Jazz kutoka Marekani AMP Fiddler na N'dambi Blue waliopo nchini wakiwa katika pozi mbalimbali mara baada ya kuwasili nchini kufanya maonyesho kadhaa kwa udhamini wa Zantel, e bwanaa wako makini hawa si mchezo ndugu. Picha ya mdau Kassim Mbarouk.

No comments:

SERIKALI YAIMARISHA MIUNDOMBINU YA UMEME IGUNGA” MHE. SALOME

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imeendelea kuimarisha miundombinu...