Friday, May 30, 2008

Wanamuziki wa Marekani ndani ya Bongo





Wanamuziki wa Jazz kutoka Marekani AMP Fiddler na N'dambi Blue waliopo nchini wakiwa katika pozi mbalimbali mara baada ya kuwasili nchini kufanya maonyesho kadhaa kwa udhamini wa Zantel, e bwanaa wako makini hawa si mchezo ndugu. Picha ya mdau Kassim Mbarouk.

No comments:

CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO

  Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...