Friday, May 30, 2008

Wanamuziki wa Marekani ndani ya Bongo





Wanamuziki wa Jazz kutoka Marekani AMP Fiddler na N'dambi Blue waliopo nchini wakiwa katika pozi mbalimbali mara baada ya kuwasili nchini kufanya maonyesho kadhaa kwa udhamini wa Zantel, e bwanaa wako makini hawa si mchezo ndugu. Picha ya mdau Kassim Mbarouk.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...