Sunday, May 25, 2008

Mama Kikwete


Nahodha wa Timu ya mpira wa Pete ya Towna Star ya Nzega akijaribu bila ya mafanikio kumzuia mke wa Rais Mama Salma Kikwete asifunge golki wakati wa uzinduzi wa fainali za mchezo wa pete kati ya timy ya Town Star na Chief Ntinginya.Katika mchezo huo Timu ya Chifu Ntinginya iliibuka mshindi katika fainali hizo.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipiga mpira wa miguu kuzindua fainali za mchezo huo kati ya timu ya Nzega Football club na Shule ya Sekondari Uchama iliyopo Nzega.Katika mchezo huo Nzega FC iliibuka kidedea kwa kushinda Uchama kwa penalti.

No comments: