
Nahodha wa Timu ya mpira wa Pete ya Towna Star ya Nzega akijaribu bila ya mafanikio kumzuia mke wa Rais Mama Salma Kikwete asifunge golki wakati wa uzinduzi wa fainali za mchezo wa pete kati ya timy ya Town Star na Chief Ntinginya.Katika mchezo huo Timu ya Chifu Ntinginya iliibuka mshindi katika fainali hizo.

No comments:
Post a Comment