Sunday, May 11, 2008

bwana harusi Reginald Simon


Reginald Saimon mwanablogu mwenzangu huyu, ameamua kuondoka ghafla katika klabu ya mabachelor na mkewe Winifrida Kokwenda wakimeremeta jana baada ya kufunga ndoa kanisa la Mtakatifu Yosefu na baadaye kwenye bonge la pati Land Mark Hotel, Ubungo, dar

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...