Sunday, May 11, 2008

bwana harusi Reginald Simon


Reginald Saimon mwanablogu mwenzangu huyu, ameamua kuondoka ghafla katika klabu ya mabachelor na mkewe Winifrida Kokwenda wakimeremeta jana baada ya kufunga ndoa kanisa la Mtakatifu Yosefu na baadaye kwenye bonge la pati Land Mark Hotel, Ubungo, dar

No comments:

Oryx Gas Waja na Promosheni Maalum ya Mfungo

  NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM KATIKA kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Oryx Gas imezindua kampeni...