Sunday, May 25, 2008

Askofu Mokiwa


Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akimpongeza askofu Mpya wa kanisa Anglikan Tanzania Dk. Valentino mokiwa mara baada ya kutawazwa rasmi kwa askofu huyo kuwa askofu wa tano wa kanisa hilo kwenye sherehe iliyofanyika leo katika kanisa kuu la Anglikana mjini Dodoma. Picha ya ofisi ya Makamu wa Rais.

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...