Sunday, May 25, 2008

Askofu Mokiwa


Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akimpongeza askofu Mpya wa kanisa Anglikan Tanzania Dk. Valentino mokiwa mara baada ya kutawazwa rasmi kwa askofu huyo kuwa askofu wa tano wa kanisa hilo kwenye sherehe iliyofanyika leo katika kanisa kuu la Anglikana mjini Dodoma. Picha ya ofisi ya Makamu wa Rais.

No comments:

WAZIRI MASAUNI ASHUHUDIA NUSU FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR

Zanzibar — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni , ameshuhudia mchezo wa kwanza wa nusu fain...