Sunday, March 09, 2008

Waziri Mkuu Pinda

Mwana wa mkulima, Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda (kulia) akizungumza na madiwani 23 kutoka katikawilaya ya Namtumbo ambao walimtembelea nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar esSalaam leo mchana. Katikati ni Mbunge wa Namtumbo, Bw. Vita Kawawa. (Picha ya Ofisi ya Ofisi ya Waziri Mkuu)

2 comments:

Anonymous said...

hi from Hungary!;)

ARAWAY Media Tanzania said...

thanx hey im happy to hear from you welcome to Tanzania

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...