Friday, March 21, 2008


Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Method Kilaini pamoja na wachungaji, wakiwa wamelala kifudifudi kuashiria moja ya matukio ya kuadhimisha kifo cha Yesu Kristo katika Ibada Maalum ya kitaifa iliyofanyika katika Kanisa la Katoliki Mburahati Parokia ya familia takatifu jijini Dar es Salaam. Picha ya Athumani Hamisi

No comments:

SEKTA YA NYUMBA YAPATA MSUKUMO MPYA, NHC YATEKELEZA MIRADI YA MABILIONI NCHINI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo a kiwasilisha  Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ...