Friday, March 21, 2008


Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Method Kilaini pamoja na wachungaji, wakiwa wamelala kifudifudi kuashiria moja ya matukio ya kuadhimisha kifo cha Yesu Kristo katika Ibada Maalum ya kitaifa iliyofanyika katika Kanisa la Katoliki Mburahati Parokia ya familia takatifu jijini Dar es Salaam. Picha ya Athumani Hamisi

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...