Sunday, March 09, 2008

Mama Raila kazini

Mke wa Waziri Mkuu mteule wa Kenya, Raila Odinga ,Ida , akihutubia kina mama katika Kanisa la Kiadventist , Kibera katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani juzi. Mama huyu anatarajiwa kuwa mama mkubwa wa Kenya baada ya Lucy Kibaki, mambo Kenya sasa shwari, wanasiasa wamepata walichotaka sasa tusubiri mengine. hebu cheki hapa http://www.eastandard.net/news/?msg=picturegal&picno=1

No comments:

WALIOSHINDWA KUREJESHA MAWASILIANO SOMANGA KUCHUKULIWA HATUA: ULEGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesisitiza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wataalam kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS)  waliouhusik...