Sunday, March 09, 2008

Mama Raila kazini

Mke wa Waziri Mkuu mteule wa Kenya, Raila Odinga ,Ida , akihutubia kina mama katika Kanisa la Kiadventist , Kibera katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani juzi. Mama huyu anatarajiwa kuwa mama mkubwa wa Kenya baada ya Lucy Kibaki, mambo Kenya sasa shwari, wanasiasa wamepata walichotaka sasa tusubiri mengine. hebu cheki hapa http://www.eastandard.net/news/?msg=picturegal&picno=1

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...