Sunday, March 09, 2008

Mama Raila kazini

Mke wa Waziri Mkuu mteule wa Kenya, Raila Odinga ,Ida , akihutubia kina mama katika Kanisa la Kiadventist , Kibera katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani juzi. Mama huyu anatarajiwa kuwa mama mkubwa wa Kenya baada ya Lucy Kibaki, mambo Kenya sasa shwari, wanasiasa wamepata walichotaka sasa tusubiri mengine. hebu cheki hapa http://www.eastandard.net/news/?msg=picturegal&picno=1

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...