Sunday, March 09, 2008

Mama Raila kazini

Mke wa Waziri Mkuu mteule wa Kenya, Raila Odinga ,Ida , akihutubia kina mama katika Kanisa la Kiadventist , Kibera katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani juzi. Mama huyu anatarajiwa kuwa mama mkubwa wa Kenya baada ya Lucy Kibaki, mambo Kenya sasa shwari, wanasiasa wamepata walichotaka sasa tusubiri mengine. hebu cheki hapa http://www.eastandard.net/news/?msg=picturegal&picno=1

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...