Sunday, March 09, 2008

Dawasco bwana mambo yao



Pichani Juu Donart Missana Taratibu Meneja wa Dawasco Kawe akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na operation yao ya kukata maji inayoendelea kote jijini, jamaa hawa mambo yao yanafurahisha sana. Pole Kamanda Donart. (Picha ya Deus Mhagale)

No comments:

MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...