Sunday, March 09, 2008

Dawasco bwana mambo yao



Pichani Juu Donart Missana Taratibu Meneja wa Dawasco Kawe akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na operation yao ya kukata maji inayoendelea kote jijini, jamaa hawa mambo yao yanafurahisha sana. Pole Kamanda Donart. (Picha ya Deus Mhagale)

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...