Sunday, March 09, 2008

Dawasco bwana mambo yao



Pichani Juu Donart Missana Taratibu Meneja wa Dawasco Kawe akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na operation yao ya kukata maji inayoendelea kote jijini, jamaa hawa mambo yao yanafurahisha sana. Pole Kamanda Donart. (Picha ya Deus Mhagale)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...