Sunday, March 09, 2008

Dawasco bwana mambo yao



Pichani Juu Donart Missana Taratibu Meneja wa Dawasco Kawe akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na operation yao ya kukata maji inayoendelea kote jijini, jamaa hawa mambo yao yanafurahisha sana. Pole Kamanda Donart. (Picha ya Deus Mhagale)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...