Sunday, March 23, 2008

Ajali ya treni




Wakazi wa eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam, wakiangalia mabehewa ya Treni ya TAZARA yaliyoanguka jana. Hadi kufikiwa jana mchana, hakukuwa na taarifa za kuwapo majeruhi katika eneo hilo ambalo hutumiwa pia na waenda kwa miguu. PIcha za Athumani Hamis

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...