Sunday, March 23, 2008

Ajali ya treni




Wakazi wa eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam, wakiangalia mabehewa ya Treni ya TAZARA yaliyoanguka jana. Hadi kufikiwa jana mchana, hakukuwa na taarifa za kuwapo majeruhi katika eneo hilo ambalo hutumiwa pia na waenda kwa miguu. PIcha za Athumani Hamis

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...