Sunday, March 23, 2008

Ajali ya treni




Wakazi wa eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam, wakiangalia mabehewa ya Treni ya TAZARA yaliyoanguka jana. Hadi kufikiwa jana mchana, hakukuwa na taarifa za kuwapo majeruhi katika eneo hilo ambalo hutumiwa pia na waenda kwa miguu. PIcha za Athumani Hamis

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...