

Dar DSM sema, hayo ndo mambo yenyewe yalivyo kila mmoja na lakke, ombaomba wanafanya vyao, barabara imejaa magari kivyake yaani ili mradi mpango ni vurugu tupu. Hili ndilo jiji la Kandoro bwanaaaaa.
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
No comments:
Post a Comment