Monday, March 24, 2008

Mambo ya Dar es Salaam



Dar DSM sema, hayo ndo mambo yenyewe yalivyo kila mmoja na lakke, ombaomba wanafanya vyao, barabara imejaa magari kivyake yaani ili mradi mpango ni vurugu tupu. Hili ndilo jiji la Kandoro bwanaaaaa.

No comments:

TANZANIA NA COMORO ZAENDELEZA USHIRIKIANO WA KISWAHILI KWA KUANZISHA MAZUNGUMZO YA KUFUNDISHA LUGHA HIYO MASHULENI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, kupitia kwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva, ametamka kuwa Serikali inatambua na ...