Na Muhibu Said wa Mwananchi
MUFTI wa Tanzania, Sheikh Mkuu, Issa bin Shaaban Simba, amelazwa hospitali mkoani Arusha kwa takriban wiki mbii sasa, akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa kisukari.
Habari zilizopatikana jijini Dar es Salaam jana, zinaeleza kuwa, Mufti Simba amelazwa katika Hospitali ya Dk Mhando iliyoko mjini Arusha tangu Machi 2, mwaka huu.
Katibu wa Mufti, Sheikh Abdushakur Omar, alilithibitishia gazeti hili juzi na jana kuhusiana na kulazwa kwa Mufti Simba katika hospitali hiyo.Kwa kina zaidi soma Mwananchi la Kesho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment