Na Muhibu Said wa Mwananchi
MUFTI wa Tanzania, Sheikh Mkuu, Issa bin Shaaban Simba, amelazwa hospitali mkoani Arusha kwa takriban wiki mbii sasa, akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa kisukari.
Habari zilizopatikana jijini Dar es Salaam jana, zinaeleza kuwa, Mufti Simba amelazwa katika Hospitali ya Dk Mhando iliyoko mjini Arusha tangu Machi 2, mwaka huu.
Katibu wa Mufti, Sheikh Abdushakur Omar, alilithibitishia gazeti hili juzi na jana kuhusiana na kulazwa kwa Mufti Simba katika hospitali hiyo.Kwa kina zaidi soma Mwananchi la Kesho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment