Thursday, March 20, 2008

Maulidi njemaaa






Mambo ya Maulidi yalikuwa makubwa imefana katika maeneo mbalimbali ya nchi unaweza kuwaona waumini waliokuwamo Mnazi mmoja Dar es Salaam wakiwamo kina Dk Hussein Mwinyi na wengine wengi Pichani baadhi ya kina mama wa kiislam waliohudhuria Baraza la Maulid lilifanyika jana jijini Tanga wakifuatilia kwa makini shughuli mbalimbali zilizokuwazinaendelea katika Hoteli ya mkonge, picha ya chini Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mohamed Abdulaziz akitoa salamu mkoa wa Tanga wakati wa Baraza la Maulid ambalo kitaifa lilifanyika jana mkoani Tanga na Mgeni rasmi
alikuwa Naibu Waziri Kiongozi wa Zanzibar Ally Juma Shamhuna. (Picha na Tiganya
Vincent, Tanga na Kassim Mbarouk wa Dar es Salaam)

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...