Sunday, March 16, 2008

Waziri Mkuu yuko Dodoma



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Dodoma, William Lukuvi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma jana . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...