Tuesday, March 04, 2008

Jengo la Ushirika laungua moto

reqk






Jengo la ushirika mtaa wa Lumumba maarufu ikama jumba refu kwa wenyeji wa Dar lilishika moto usiku wa kuamkia leo na kuteketezwa sehemu kubwa ya ghorofa ya chini. Chanzo cha moto hakijafahamika ingawa redio mbao zinatonywa kuwa ni hitilafu ya nani hii kama kawaida. Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrence Masha alitembelea eneo la tukio na kujionea jinsi zimamoto walivyoweza kuudhibiti moto usienee ghorofa zingine.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...