Tuesday, March 04, 2008

Jengo la Ushirika laungua moto

reqk






Jengo la ushirika mtaa wa Lumumba maarufu ikama jumba refu kwa wenyeji wa Dar lilishika moto usiku wa kuamkia leo na kuteketezwa sehemu kubwa ya ghorofa ya chini. Chanzo cha moto hakijafahamika ingawa redio mbao zinatonywa kuwa ni hitilafu ya nani hii kama kawaida. Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrence Masha alitembelea eneo la tukio na kujionea jinsi zimamoto walivyoweza kuudhibiti moto usienee ghorofa zingine.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...