Tuesday, March 04, 2008

Jengo la Ushirika laungua moto

reqk






Jengo la ushirika mtaa wa Lumumba maarufu ikama jumba refu kwa wenyeji wa Dar lilishika moto usiku wa kuamkia leo na kuteketezwa sehemu kubwa ya ghorofa ya chini. Chanzo cha moto hakijafahamika ingawa redio mbao zinatonywa kuwa ni hitilafu ya nani hii kama kawaida. Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrence Masha alitembelea eneo la tukio na kujionea jinsi zimamoto walivyoweza kuudhibiti moto usienee ghorofa zingine.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...