Thursday, March 13, 2008

vyuo vingine bwana


Vyuo vingine bwana hebu cheki chuo ambacho kinatarajiwa kutoa cream ya uandishi wa habari hapa nchini hebu nambieni.

3 comments:

Simon Kitururu said...

DUH!

Anonymous said...

Sasa tatizo lipo wapi? ubora wa elimu si majengo mazuri we yahya charahani!Kama watapata mtaala mzuri na walimu wazuri watatowa waaandishi wazuri kulíko huko kwenye vyuo vya maghorofa! amka we yahya!

Anonymous said...

Nilitaka kuandika exactly what Mzee ANON hapo juu yangu ulichosema. Sasa kipi kianze kuelimisha watu au kupata majengo??? Watu lazima tuondokane na fikra mgando na kuacha kukebehi jitihada za kuleta elimu nchini.

SERIKALI YAIMARISHA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA PETROLI NCHINI MALAWI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi ji...