Sasa tatizo lipo wapi? ubora wa elimu si majengo mazuri we yahya charahani!Kama watapata mtaala mzuri na walimu wazuri watatowa waaandishi wazuri kulĂko huko kwenye vyuo vya maghorofa! amka we yahya!
Nilitaka kuandika exactly what Mzee ANON hapo juu yangu ulichosema. Sasa kipi kianze kuelimisha watu au kupata majengo??? Watu lazima tuondokane na fikra mgando na kuacha kukebehi jitihada za kuleta elimu nchini.
3 comments:
DUH!
Sasa tatizo lipo wapi? ubora wa elimu si majengo mazuri we yahya charahani!Kama watapata mtaala mzuri na walimu wazuri watatowa waaandishi wazuri kulĂko huko kwenye vyuo vya maghorofa! amka we yahya!
Nilitaka kuandika exactly what Mzee ANON hapo juu yangu ulichosema. Sasa kipi kianze kuelimisha watu au kupata majengo??? Watu lazima tuondokane na fikra mgando na kuacha kukebehi jitihada za kuleta elimu nchini.
Post a Comment