Sunday, March 02, 2008

Kofi Annan aiacha Kenya

Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Nigeria, Oluyemi Adeniji ambaye atashikilia kazi ya Upatanishi wa Kenya kwa muda.
Mpatanishi Mkuu wa mgogoro wa Kenya, na Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa akipiga picha ya ukumbusho wa jiji la Nairobi.



Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Matifa Dk Kofi Annan ameondoka leo nchini Kenya huku akiacha ujumbe mzito kwa wananchi wa Kenya kushinikiza uongozi wao utekeleze makubaliano yaliyosainiwa mwishoni mwa wiki na ambayo yanatarajia kupitishwa Alhamisi ijayo.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...