Sunday, March 02, 2008

Kofi Annan aiacha Kenya

Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Nigeria, Oluyemi Adeniji ambaye atashikilia kazi ya Upatanishi wa Kenya kwa muda.
Mpatanishi Mkuu wa mgogoro wa Kenya, na Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa akipiga picha ya ukumbusho wa jiji la Nairobi.



Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Matifa Dk Kofi Annan ameondoka leo nchini Kenya huku akiacha ujumbe mzito kwa wananchi wa Kenya kushinikiza uongozi wao utekeleze makubaliano yaliyosainiwa mwishoni mwa wiki na ambayo yanatarajia kupitishwa Alhamisi ijayo.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...