Monday, March 24, 2008

Mama weee Bongo kama America



majeshi ya umoja wa afrika yakiongozwa na bongo yanatarajia kukiteka kisiwa cha anjouan wakati wowote kuanzia sasa. kwa picha hizi za afp na habari zaidi bofya hapa kwa michuzi

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...