
Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti la Mwanahalisi, Saed Kubenea akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la polisi, IGP, Said Mwema jana. Sijui alikuwa anaomba msaada wa ulinzi asimwagiwe tindikali tena? ama alikuwa anataja mafisadi? Picha ya mdau Mpoki Bukuku.
Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...
No comments:
Post a Comment