Mzee wa Mshitu
Thursday, March 13, 2008
saed alipokutana na Said
Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti la Mwanahalisi, Saed Kubenea akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la polisi, IGP, Said Mwema jana. Sijui alikuwa anaomba msaada wa ulinzi asimwagiwe tindikali tena? ama alikuwa anataja mafisadi? Picha ya mdau Mpoki Bukuku.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment