Monday, March 24, 2008

Magari yakwama Chunya


Pichani ni magari ambayo yamekwama na kuziba njia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika kijiji cha Kawatere barabara ya kutoka Chunya kuelekea Mbeya ambapo barabra hiyo iko kwenye matengenezo.(picha zote na Brandy Nelson )

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...