Sunday, March 02, 2008

Waziri Mkuu kwa Biblia si mchezo


Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akipokea zawadi ya Biblia kutoka kwa Mhashamu Baba Askofu, Pascal Kikoti wa Kanisa Kuu Katoliki Jimbo la Mpanda la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi katika Ibada maalum jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...