Sunday, March 02, 2008

Waziri Mkuu kwa Biblia si mchezo


Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akipokea zawadi ya Biblia kutoka kwa Mhashamu Baba Askofu, Pascal Kikoti wa Kanisa Kuu Katoliki Jimbo la Mpanda la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi katika Ibada maalum jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...