Sunday, March 02, 2008

Waziri Mkuu kwa Biblia si mchezo


Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akipokea zawadi ya Biblia kutoka kwa Mhashamu Baba Askofu, Pascal Kikoti wa Kanisa Kuu Katoliki Jimbo la Mpanda la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi katika Ibada maalum jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...