Sunday, March 02, 2008

Waziri Mkuu kwa Biblia si mchezo


Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akipokea zawadi ya Biblia kutoka kwa Mhashamu Baba Askofu, Pascal Kikoti wa Kanisa Kuu Katoliki Jimbo la Mpanda la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi katika Ibada maalum jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...