Sunday, March 09, 2008

Waziri Mkuu Pinda

Mwana wa mkulima, Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda (kulia) akizungumza na madiwani 23 kutoka katikawilaya ya Namtumbo ambao walimtembelea nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar esSalaam leo mchana. Katikati ni Mbunge wa Namtumbo, Bw. Vita Kawawa. (Picha ya Ofisi ya Ofisi ya Waziri Mkuu)

2 comments:

Anonymous said...

hi from Hungary!;)

ARAWAY Media Tanzania said...

thanx hey im happy to hear from you welcome to Tanzania

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...