Sunday, March 09, 2008

Waziri Mkuu Pinda

Mwana wa mkulima, Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda (kulia) akizungumza na madiwani 23 kutoka katikawilaya ya Namtumbo ambao walimtembelea nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar esSalaam leo mchana. Katikati ni Mbunge wa Namtumbo, Bw. Vita Kawawa. (Picha ya Ofisi ya Ofisi ya Waziri Mkuu)

2 comments:

Anonymous said...

hi from Hungary!;)

ARAWAY Media Tanzania said...

thanx hey im happy to hear from you welcome to Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ashiriki Kupiga Kura ya Maoni Jimbo la Ruangwa

  Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...