Saturday, March 29, 2008

Kamati Kuu ya CCM



Kamati kuu ya CCM ikiwa katika kikao jana asubuhi katika ofisi za Mkuu wa
mkoa wa Mara kabla hawajaelekea katika kikao cha halmashauli kuu
kilichofanyika Butiama. Picha ya mdau Edwin Mjwahuzi.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...