Sunday, March 09, 2008

Masaai wakiwa kazini


Wajasiriamali wa Kimasai wakijituma jijini Dar es Salaam, hii ndiyo imekuwa njia yao ya kujipatia kipato chao cha kila siku ni kazi nzuri na imekuwa ikisaidia kina mama kufurahia urembo wao.

No comments:

SERIKALI YAIMARISHA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA PETROLI NCHINI MALAWI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi ji...