Sunday, March 09, 2008

Masaai wakiwa kazini


Wajasiriamali wa Kimasai wakijituma jijini Dar es Salaam, hii ndiyo imekuwa njia yao ya kujipatia kipato chao cha kila siku ni kazi nzuri na imekuwa ikisaidia kina mama kufurahia urembo wao.

No comments:

KIKWETE ASEMA MFUKO WA UWEKEZAJI WA FAIDA WAKUA KWA KASI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wawekezaji wa Mfuko wa...