Sunday, March 09, 2008

Masaai wakiwa kazini


Wajasiriamali wa Kimasai wakijituma jijini Dar es Salaam, hii ndiyo imekuwa njia yao ya kujipatia kipato chao cha kila siku ni kazi nzuri na imekuwa ikisaidia kina mama kufurahia urembo wao.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...