Sunday, March 09, 2008

Masaai wakiwa kazini


Wajasiriamali wa Kimasai wakijituma jijini Dar es Salaam, hii ndiyo imekuwa njia yao ya kujipatia kipato chao cha kila siku ni kazi nzuri na imekuwa ikisaidia kina mama kufurahia urembo wao.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...