Monday, March 17, 2008

Dar es Salam bwana



 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 Ona maisha ya watu yanavyoendelea, hakuna hata pa kujipumzisha na jua, mabati yameondolewa katika kituo hiki cha daladala kila mmoja ni mjanja anakula katika umbali wa kamba yake, maisha ni kutaimiana, inasikitisha unaonaje ewe mbongo mwenzangu. Picha imepigwa na mdau Faraja Jube wa Mwananchi na The Citizen.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...