Monday, March 17, 2008

Dar es Salam bwana



 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 Ona maisha ya watu yanavyoendelea, hakuna hata pa kujipumzisha na jua, mabati yameondolewa katika kituo hiki cha daladala kila mmoja ni mjanja anakula katika umbali wa kamba yake, maisha ni kutaimiana, inasikitisha unaonaje ewe mbongo mwenzangu. Picha imepigwa na mdau Faraja Jube wa Mwananchi na The Citizen.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...