Monday, March 17, 2008

Dar es Salam bwana



 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 Ona maisha ya watu yanavyoendelea, hakuna hata pa kujipumzisha na jua, mabati yameondolewa katika kituo hiki cha daladala kila mmoja ni mjanja anakula katika umbali wa kamba yake, maisha ni kutaimiana, inasikitisha unaonaje ewe mbongo mwenzangu. Picha imepigwa na mdau Faraja Jube wa Mwananchi na The Citizen.

No comments:

TANAPA YAZINDUA RASMI APP YAKE KUPANUA UTALII DUNIANI

Na. Calvin Katera - Mikumi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), limezindua rasmi Programu Tumizi "App" yake Leo Oktoba 0...