Tuesday, March 04, 2008

Kampeni Ya Kutangaza Vivutio Vya Tanzania yazinduliwa Uingereza


Pichani ni baadhi ya Watanzania waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa mwanzo kabisa wa kuvitangaza vivutio vya Tanzania katika Mabasi Ya London,Uingereza katika sherehe zilizofanyika katika ubalozi wa Tanzania mjini London Leo,Pichani baadhi ya wadau walioshiriki kwenye uznduzi huo na nyuma yao ni moja kati ya mabasi hayo likiwa limebandikwa Matangazo Hayo.

1 comment:

Deacon Pat said...

great photos.....

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...