Tuesday, March 04, 2008

Kampeni Ya Kutangaza Vivutio Vya Tanzania yazinduliwa Uingereza


Pichani ni baadhi ya Watanzania waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa mwanzo kabisa wa kuvitangaza vivutio vya Tanzania katika Mabasi Ya London,Uingereza katika sherehe zilizofanyika katika ubalozi wa Tanzania mjini London Leo,Pichani baadhi ya wadau walioshiriki kwenye uznduzi huo na nyuma yao ni moja kati ya mabasi hayo likiwa limebandikwa Matangazo Hayo.

1 comment:

Deacon Pat said...

great photos.....

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...