Friday, March 21, 2008

Mheshimiwa Richard Nyaulawa



Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof David Mwakyusa akimfariji mbunge wa Mbeya Vijijini mheshimiwa Richard Nyaulawa ambaye amelazwa katika hospitali ya Indraprastha Apollo nchini india kwa matibabu ya kansa ya utumbo,wakati Prof Mwakyusa na Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein walipofanya ziara katika hospitali ya Apollo leo. Mungu ampe nafuu apate kurejea kuendeleza libeneke katika sekta ya habari. Picha kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais.

No comments:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ashiriki Kupiga Kura ya Maoni Jimbo la Ruangwa

  Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...