Friday, March 21, 2008

Bosi wangu wa zamani



Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof David Mwakyusa akimfariji mbunge wa Mbeya Vijijini mheshimiwa Richard Nyaulawa ambaye amelazwa katika hospitali ya Indraprastha Apollo nchini india kwa matibabu ya kansa ya utumbo,wakati Prof Mwakyusa na Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein walipofanya ziara katika hospitali ya Apollo leo. Mungu ampe nafuu apate kurejea kuendeleza libeneke katika sekta ya habari. Picha kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais.

No comments: