Sunday, March 23, 2008

Pasaka Njema



Leo ni sikukuu na pasaka wengi wa wakazi wa mijini wamejimwaya katika maeneo mbalimbali ya burudani kujipa raha, pichani mdau Faraja Jube alipata fursa ya kukatiza maeneo ya Coco Beach na mitaa ya Biafra hivi ndivyo alivyowakuta wananchi hawa wakiendeleza libeneke.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...