Sunday, March 23, 2008

Pasaka Njema



Leo ni sikukuu na pasaka wengi wa wakazi wa mijini wamejimwaya katika maeneo mbalimbali ya burudani kujipa raha, pichani mdau Faraja Jube alipata fursa ya kukatiza maeneo ya Coco Beach na mitaa ya Biafra hivi ndivyo alivyowakuta wananchi hawa wakiendeleza libeneke.

No comments:

SEKTA YA NYUMBA YAPATA MSUKUMO MPYA, NHC YATEKELEZA MIRADI YA MABILIONI NCHINI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo a kiwasilisha  Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ...