Sunday, March 23, 2008

Pasaka Njema



Leo ni sikukuu na pasaka wengi wa wakazi wa mijini wamejimwaya katika maeneo mbalimbali ya burudani kujipa raha, pichani mdau Faraja Jube alipata fursa ya kukatiza maeneo ya Coco Beach na mitaa ya Biafra hivi ndivyo alivyowakuta wananchi hawa wakiendeleza libeneke.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...