Pichani wanachama wa chama cha wananchi (CUF) wakiwa mkutanoni wanazungumzia mambo mengine lakini kubwa ni muafaka wa Zanzibar ambao umeshachukua miaka saba sasa, haukamiliki haujulikani ukowapi na hautajulikana, lakini Kenya wamenza jana tu leo kitu kinaeleweka, Je msomaji unafikiri tatizo ni nini huko?
Sunday, March 02, 2008
Muafaka wa Zanzibar miaka 10, Kenya miezi miwili
Pichani wanachama wa chama cha wananchi (CUF) wakiwa mkutanoni wanazungumzia mambo mengine lakini kubwa ni muafaka wa Zanzibar ambao umeshachukua miaka saba sasa, haukamiliki haujulikani ukowapi na hautajulikana, lakini Kenya wamenza jana tu leo kitu kinaeleweka, Je msomaji unafikiri tatizo ni nini huko?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment