Sunday, March 02, 2008

Muafaka wa Zanzibar miaka 10, Kenya miezi miwili





Pichani wanachama wa chama cha wananchi (CUF) wakiwa mkutanoni wanazungumzia mambo mengine lakini kubwa ni muafaka wa Zanzibar ambao umeshachukua miaka saba sasa, haukamiliki haujulikani ukowapi na hautajulikana, lakini Kenya wamenza jana tu leo kitu kinaeleweka, Je msomaji unafikiri tatizo ni nini huko?

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...