Sunday, March 02, 2008

Muafaka wa Zanzibar miaka 10, Kenya miezi miwili





Pichani wanachama wa chama cha wananchi (CUF) wakiwa mkutanoni wanazungumzia mambo mengine lakini kubwa ni muafaka wa Zanzibar ambao umeshachukua miaka saba sasa, haukamiliki haujulikani ukowapi na hautajulikana, lakini Kenya wamenza jana tu leo kitu kinaeleweka, Je msomaji unafikiri tatizo ni nini huko?

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...