Sunday, March 02, 2008

Muafaka wa Zanzibar miaka 10, Kenya miezi miwili





Pichani wanachama wa chama cha wananchi (CUF) wakiwa mkutanoni wanazungumzia mambo mengine lakini kubwa ni muafaka wa Zanzibar ambao umeshachukua miaka saba sasa, haukamiliki haujulikani ukowapi na hautajulikana, lakini Kenya wamenza jana tu leo kitu kinaeleweka, Je msomaji unafikiri tatizo ni nini huko?

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...