Friday, March 28, 2008

Mvua inaendelea jijini Dar es Salaam






Mvua zinazoendelea kunyesha jijni Dar es Salaam zimekuwa mwiba mchungu kwa kila mmoja si watu wa mabondeni tu bali hata kwa watu wa City Centre kama inavyoonekana katika picha hizi nilizoziopoa kwa wadau Issa Michuzi na Mpoki Bukuku. Kama zitaendelea namna hii balaa lake si la kawaida.

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...