Friday, March 28, 2008

Mvua inaendelea jijini Dar es Salaam






Mvua zinazoendelea kunyesha jijni Dar es Salaam zimekuwa mwiba mchungu kwa kila mmoja si watu wa mabondeni tu bali hata kwa watu wa City Centre kama inavyoonekana katika picha hizi nilizoziopoa kwa wadau Issa Michuzi na Mpoki Bukuku. Kama zitaendelea namna hii balaa lake si la kawaida.

No comments:

KIKWETE ASEMA MFUKO WA UWEKEZAJI WA FAIDA WAKUA KWA KASI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wawekezaji wa Mfuko wa...