Wanamuziki kutoka marekani Kci & jojo walifaniikiwa kuwasha moto wa ukweli jana ndani ya jiji la Dar es Salaam kwenye show yao ya kwanza iliyofanyika Hotel Movenpic katika kusherekea sikukuu ya Pasaka na kujaza nyomi la watu si kipolepole,kama muonavyo picha Kci & jojo wakifanya vitu vyao ambapo wanamuziki K-lyn na Nakaaya nao walikuwepo kutoa burudani ya nguvu.katika Onyesho lilodhaminiwa na kampuni ya simu za mikononi TIGO. Picha ya Faraja Jube
Sunday, March 23, 2008
Kc & Jojo wakiwa Bongo
Wanamuziki kutoka marekani Kci & jojo walifaniikiwa kuwasha moto wa ukweli jana ndani ya jiji la Dar es Salaam kwenye show yao ya kwanza iliyofanyika Hotel Movenpic katika kusherekea sikukuu ya Pasaka na kujaza nyomi la watu si kipolepole,kama muonavyo picha Kci & jojo wakifanya vitu vyao ambapo wanamuziki K-lyn na Nakaaya nao walikuwepo kutoa burudani ya nguvu.katika Onyesho lilodhaminiwa na kampuni ya simu za mikononi TIGO. Picha ya Faraja Jube
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment