Sunday, March 23, 2008

Kc & Jojo wakiwa Bongo



Wanamuziki kutoka marekani Kci & jojo walifaniikiwa kuwasha moto wa ukweli jana ndani ya jiji la Dar es Salaam kwenye show yao ya kwanza iliyofanyika Hotel Movenpic katika kusherekea sikukuu ya Pasaka na kujaza nyomi la watu si kipolepole,kama muonavyo picha Kci & jojo wakifanya vitu vyao ambapo wanamuziki K-lyn na Nakaaya nao walikuwepo kutoa burudani ya nguvu.katika Onyesho lilodhaminiwa na kampuni ya simu za mikononi TIGO. Picha ya Faraja Jube

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...