Wanamuziki kutoka marekani Kci & jojo walifaniikiwa kuwasha moto wa ukweli jana ndani ya jiji la Dar es Salaam kwenye show yao ya kwanza iliyofanyika Hotel Movenpic katika kusherekea sikukuu ya Pasaka na kujaza nyomi la watu si kipolepole,kama muonavyo picha Kci & jojo wakifanya vitu vyao ambapo wanamuziki K-lyn na Nakaaya nao walikuwepo kutoa burudani ya nguvu.katika Onyesho lilodhaminiwa na kampuni ya simu za mikononi TIGO. Picha ya Faraja Jube
Sunday, March 23, 2008
Kc & Jojo wakiwa Bongo
Wanamuziki kutoka marekani Kci & jojo walifaniikiwa kuwasha moto wa ukweli jana ndani ya jiji la Dar es Salaam kwenye show yao ya kwanza iliyofanyika Hotel Movenpic katika kusherekea sikukuu ya Pasaka na kujaza nyomi la watu si kipolepole,kama muonavyo picha Kci & jojo wakifanya vitu vyao ambapo wanamuziki K-lyn na Nakaaya nao walikuwepo kutoa burudani ya nguvu.katika Onyesho lilodhaminiwa na kampuni ya simu za mikononi TIGO. Picha ya Faraja Jube
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKELEA MAFUTA KIGAMBONI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment