Monday, March 24, 2008

Usafiri wa wanafunzi Dar es Salaam

Usafiri wa wanafunzi jijini Dar es Salaam una adha kweli kweli hebu cheki hawa watoto wanavyohangaika na malori, kila kukicha hali ni hii hii, na hakuna matumaini makubwa, watoto wetu wanaendelea kutaabika kwa kukosa usafiri na halafu tunategemea itokee miujiza ya usafiri kwa watoto wetu.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...