Monday, March 24, 2008

Usafiri wa wanafunzi Dar es Salaam

Usafiri wa wanafunzi jijini Dar es Salaam una adha kweli kweli hebu cheki hawa watoto wanavyohangaika na malori, kila kukicha hali ni hii hii, na hakuna matumaini makubwa, watoto wetu wanaendelea kutaabika kwa kukosa usafiri na halafu tunategemea itokee miujiza ya usafiri kwa watoto wetu.

No comments:

SEKTA YA NYUMBA YAPATA MSUKUMO MPYA, NHC YATEKELEZA MIRADI YA MABILIONI NCHINI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo a kiwasilisha  Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ...