Monday, March 24, 2008

Usafiri wa wanafunzi Dar es Salaam

Usafiri wa wanafunzi jijini Dar es Salaam una adha kweli kweli hebu cheki hawa watoto wanavyohangaika na malori, kila kukicha hali ni hii hii, na hakuna matumaini makubwa, watoto wetu wanaendelea kutaabika kwa kukosa usafiri na halafu tunategemea itokee miujiza ya usafiri kwa watoto wetu.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...