Wednesday, March 19, 2008

Sala ya kumuombea Waziri wa zamani



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakishiriki katika ibada ya
kumwombea marehemu balozi Charles Kileo aliefariki dunia katika hospitali ya
taifa ya Muhimbili mwishoni mwa wiki . Ibada hiyo ilifanyika kwenye kanisa la KKKT
la Azania Front jijini Dar es salaam jana. Wengine pichani ni Waziri Mkuu
mstaafu, Edward Lowassa , Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
Bernard Membe (wapili kushoto) na kushoto ni Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph
Warioba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...