Monday, March 03, 2008

Bongo Dar es Salaam





Hebu cheki wakazi hawa wa Dar es Salaam wanavyochangamkia maisha, katikati ya jiji foleni kibao ya magari, kila mtu na lake, madereva wanawahi, abiria wanakimbizana ili mradi maisha si mchezo.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...