Monday, March 03, 2008

Bongo Dar es Salaam





Hebu cheki wakazi hawa wa Dar es Salaam wanavyochangamkia maisha, katikati ya jiji foleni kibao ya magari, kila mtu na lake, madereva wanawahi, abiria wanakimbizana ili mradi maisha si mchezo.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...