Monday, March 03, 2008

Bongo Dar es Salaam





Hebu cheki wakazi hawa wa Dar es Salaam wanavyochangamkia maisha, katikati ya jiji foleni kibao ya magari, kila mtu na lake, madereva wanawahi, abiria wanakimbizana ili mradi maisha si mchezo.

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...