Monday, March 03, 2008

Bongo Dar es Salaam





Hebu cheki wakazi hawa wa Dar es Salaam wanavyochangamkia maisha, katikati ya jiji foleni kibao ya magari, kila mtu na lake, madereva wanawahi, abiria wanakimbizana ili mradi maisha si mchezo.

No comments:

TANZANIA NA COMORO ZAENDELEZA USHIRIKIANO WA KISWAHILI KWA KUANZISHA MAZUNGUMZO YA KUFUNDISHA LUGHA HIYO MASHULENI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, kupitia kwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva, ametamka kuwa Serikali inatambua na ...